Thursday, 13 October 2011

Mama Maria Nyerere akipokea zawadi toka kwa balozi wa India nchini Tanzania bw. Bhagiralt K.V, nyuma ya balozi huyo wa India ni baadhi ya mabalozi na wageni kadhaa walifika nyumbani kwa baba wa taifa hayati Mw. Julius K. Nyerere Butiama kwa ajili ya kusalim mama Maria Nyerere.

No comments: