Friday, 11 November 2011

'Usalama kwanza' ndivyo wanavyoonekana kusema watu hawa ambao walilazimika kukimbia baada ya kukaidi agizo la polisi lililowataka kutawanyika na hivyo kuwaladhimisha polisi hao kutumia nguvu kuwatawanya. hapa ni wakati ambapo hali ikiwa tete kweli

No comments: