Welcome to the Official Blog of CCM Marekani members living in the United States of America. If you'd like more information about CCM, feel free to contact us at 011-713-384-4567 or 011-240-423-0437. We welcome any suggestions and comments. If you'd like to become a member, email us at ccm_marekani@yahoo.com and we'll assist you as quickly as we possibly can.
Wednesday, 28 December 2011
SERIKALI YAMUAGA KING JONG II WA KOREA.
Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa rais Dk. Tarezya Huviza akisaini kitabu cha maombolezo kwenye ubalozi wa Korea kufuatia kifo cha rais wa Korea King Jong ii ya kusini mapema mwezi huu.
Wednesday, 7 December 2011
RAIS KIKWETE AZINDUA RASMI JENGO LA GOLDEN JUBILEE TOWER
Mh. rais akizungumza kwenye uzinduzi wa jengo la Golden Jubilee Tower maarufu kama PSPF
Mh. Kikwete akipokea zawadi alikuwa akizindua jengo la Golden Jubilee Tower leo jijini Dar es salaam.
Dr. JK akikata utepe ikiwa ni ishara ya kuzindua rasmi jengo hilo la PSPF
JK akisalimia na mmoja wa wafanyakazi wa PSPF jijini dar leo.
Mh. Kikwete akipokea zawadi alikuwa akizindua jengo la Golden Jubilee Tower leo jijini Dar es salaam.
Dr. JK akikata utepe ikiwa ni ishara ya kuzindua rasmi jengo hilo la PSPF
JK akisalimia na mmoja wa wafanyakazi wa PSPF jijini dar leo.
Monday, 5 December 2011
MH. LOWASA ATEMBELEA BANDA LA OFISI YA WAZIRI MKUU
Mh. Lowasa akipata maelekezo toka kwa katibu mkuu ofisi ya waziri mkuu bw, Peniel Lyimo namna ofisi hiyo inavyoshughulikia maafa mbalimbali hapa nchini. Mh. alitembelea banda hilo leo jijini Dar es salaam ikiwa ni kuadhimisha miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania.
Mh. Lowasa akisikiliza kwa makini kabisa maelekezo
Ili kuweza kuelewa vilivyo ilimpasa ku-kaa chini baada ya kusimama kwa muda mrefu.
Mh. Lowasa akisikiliza kwa makini kabisa maelekezo
Ili kuweza kuelewa vilivyo ilimpasa ku-kaa chini baada ya kusimama kwa muda mrefu.
Waziri mkuu mstaafu Mh. John Malecela akinunua katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alipotembelea banda la ofisi ya waziri mkuu leo kwenye sherehe za uhuru zinazoendelea jijini Dar es salaam
Subscribe to:
Posts (Atom)