Wednesday, 28 December 2011

SERIKALI YAMUAGA KING JONG II WA KOREA.

Waziri wa nchi ofisi ya Makamu wa rais Dk. Tarezya Huviza akisaini kitabu cha maombolezo kwenye ubalozi wa Korea kufuatia kifo cha rais wa Korea King Jong ii ya kusini mapema mwezi huu.

No comments: