Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana (kulia) akimkaribisha Balozi wa Rwanda hapa nchini bwana Eugene Kayihura, kabla ya mazungumzo yao yaliyofanyika leo katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM Lumumba jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Katibu wa Balozi huyo Ernest Bugingo.
Balozi wa Rwanda hapa nchini Eugene Kayihura, akijitambulisha kwa Katibu Mkuu wa CCM Mh. Abdulrahman Kinana, kabla ya mazungumzo yao yaliyofanyika leo katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM Lumumba jijini Dar es Salaam. Kulia ni Katibu wa Balozi huyo Ernest Bugingo.
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akiwa katika mazungumzo na Balozi huyo.
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana (kushoto) akimsindikiza mgeni wake Balozi wa Rwanda hapa nchini Eugene Kayihura, baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika leo katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM Lumumba jijini Dar es Salaam. Kulia ni Katibu wa Balozi huyo Ernest Bugingo.
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana (kulia) akiagana na Balozi wa Rwanda hapa nchini Eugene Kayihura, baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika leo katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM Lumumba jijini Dar es Salaam.
Balozi wa Rwanda hapa nchini Eugene Kayihura, akijitambulisha kwa Katibu Mkuu wa CCM Mh. Abdulrahman Kinana, kabla ya mazungumzo yao yaliyofanyika leo katika Ofisi Ndogo za Makao Makuu ya CCM Lumumba jijini Dar es Salaam. Kulia ni Katibu wa Balozi huyo Ernest Bugingo.
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akiwa katika mazungumzo na Balozi huyo.
No comments:
Post a Comment