Katibu mkuu wa CCM Taifa Mh. Abdulhaman Kinana akiwasili Mjini Songea leo kwa ajili mazishi ya aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Mbinga Mgharibi Mh. John Komba
Naibu katibu mkuu wa CCM Taifa na naibu waziri wa Fedha wa Tanzania Mh. Mwigulu Nchemba wakisalimiana na wakazi wa mjini Songea alipowasili kwa ajili ya mazishi ya marehemu John Komba.
Mwanamuziki mashuhuru wa Taarabu Bi. Khadija Kopa akiwasili mjini Songea leo