Tuesday, 3 March 2015

VIONGOZI WA CCM TAIFA WAWASILI MJINI SONGEA TAYARI KWA MAZISHI YA MAREHEMU CAPTAIN KOMBA


Katibu mkuu wa CCM Taifa Mh. Abdulhaman Kinana akiwasili Mjini Songea leo kwa ajili mazishi ya aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Mbinga Mgharibi Mh. John Komba




Naibu katibu mkuu wa CCM Taifa na naibu waziri wa Fedha wa Tanzania Mh. Mwigulu Nchemba wakisalimiana na wakazi wa mjini Songea alipowasili kwa ajili ya mazishi ya marehemu John Komba. 

Mwanamuziki mashuhuru wa Taarabu Bi. Khadija Kopa akiwasili mjini Songea leo



No comments: