Tuesday, 3 March 2015

MWILI WA MH. CAPTAIN JOHN KOMBA WAWASILI MJINI SONGEA


Mwili wa marehemu John Komba ambae alikuwa Mbunge wa Mbinga Magharibi na mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM ukiwasili kwenye uwanja wa ndege mjini Songea leo.

No comments: