Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Mh. Nape Nnauye, Mbunge wa Viti Maalum na mkoa wa Singida Martha Mlata wakishirikiana na mwanamuziki mkongwe King Kikii, Lwiza Mbutu na wasanii wengine kuimba wimbo maalum wa kumuenzi marehemu Kapteni John Komba wakati wa kutoa heshima za mwisho kwenye viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam.
Tarehe 2 Machi 2015.
No comments:
Post a Comment