Wednesday, 12 October 2011

DICOTA CONVETION WASHINGTON DC

Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa Mh. Benard Membe akiwa katika picha ya pamoja na waandaji na baadhi ya washiriki wa mkutano wa DICOTA uliofanyika hapa United State
Sept 22-25/ 11. Kutoka kushoto ni bw. Richard Kusesela, Dr. Reonard Tenende, Dr Switbert Mkama,
Mh. Benard Membe, Hilary Rite, Dr. Crispin Semakule na bw. Erick Mahai.

No comments: