Wednesday, 12 October 2011

TOFAUTI NA MAKUNDI NDANI YA CCM ZA MKERA KATIBU WA ITIKADI NA UENEZI CCM - TAIFA.

Katibu wa Itikadi na uenezi wa Chama Cha Mapinduzi Mh. Nape Mnauye akizungumza na waandishi wa habari leo jijini dar es salaam ambapo pamoja na mambo mengine alielezea kukerwa kwame na makundi ndani ya chama tawala CCM. Kwa taarifa zaidi tafadhari tembelea website ya ccm taifa.

No comments: