Thursday, 13 October 2011

WAZIRI MKUU MSTAAFU AHUTUBIA KATIKA MKUTANO WA MWAKA WA TBL.

Waziri mkuu mstaafu Mh. Cleopa D, Msuya akihutubia katika mkutano wa mwaka wa kampuni ya uzalishaji na uuzaji  bia maarufu kama TBL jana jijini Dar es saalam, kushoto ni katibu muhktasi wa kampuni hiyo bw. Haluna Ntahena na kulia ni mkurugenzi mtendaji wa TBL bw. Robin Goetzsche.

No comments: