Wednesday, 12 October 2011

WAZIRI MKUU ASHIRIKI MKUTANO WA Empower Tanzania Inc.

Waziri mkuu Mh. Mizengo Pinda akiwa na balozi wa Tanzania nchini Marekani bi. Mwanaidi Maajar jana katika mkutano wa Epower Tanzania Inc. Kulia ni mkurugenzi wa taasisi hiyo bi. Carlene Embreb hayo yote yalijiri jijini Des Moines Iowa.

No comments: