Wednesday, 12 October 2011

MH. Kikwete ahudhuria mazishi ya mtoto wa Mwapachu

Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Mh JK akiweka udongo kwenye kaburi la Harith J. Mwapachu ikiwa ni katika kushiriki kwake katika mazishi hayo. Harith Mwapachu alifariki mapema jana asubuhi jijini Dar es salaam na kuzikwa leo katika makaburi ya Kisutu hapo hapo jijini Dar es saalm.

No comments: