Tuesday, 18 October 2011

KIWETE AWASILI RUVUMA KUFUNGUA KONGAMANO.

Rais JK Kikwete akiwa amembeba moja ya watoto waliofika uwanja wa ndege wa Mpanda mkoani Ruvuma kumraki. Mh rais yuko mpanda kwa ajili ya ufunguzi wa kongamano la uwekezaji kwenye ukanda wa Ziwa Tanganyika.

No comments: