Sunday, 13 November 2011

BALAMA NA MBILINYI WAMALIZA MGOGORO MBEYA.

 Mbuge wa Jimbo la Mbeya mjini Mh. Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu akijiandaa kuwahutubia wananchi wa Mbeya mjini kufuatia vurugu zilizodumu kwa siku mbili ambazo zimesababisha kifo cha mtu mmoja ambae jina lake halijafahamika mpaka sasa.
Mkuu wa wilaya ya Mbeya Mjini Bw. Evans Balama akimnong'oneza jambo Mbunge wa Jimbo hilo Mh. Joseph Mbilinyi kabla mbunge huyo hajahutubia mkutano wa hadhari uliomaliza mgogoro uliopelekea vurugu zilizodumu kwa siku mbili Mjini humo. 

No comments: