Friday, 11 November 2011

WAMACHINGA WALETA TAFLANI KATIKA SOKO LA MWANJELWA - MBEYA

Polisi wa kikosi cha FFU wakiwatawanya wafanayabiashara wa soko la Mwanjelwa walisababisha vurugu na upotevu wa amani katika eneo hilo leo mchana mjini Mbeya.

No comments: