Sunday, 13 November 2011

NAPE AZINDUA TAWI JIPYA LA CCM JIJINI DAR ES SALAAM


Katibu wa Itikadi na uenezi wa CCM-Taifa na Mjumbe wa Halmashauri kuu ya chama (NEC) Mh. Nape Nnauye akiwahutubia wanacha wa CCM walika katika uzinduzi wa tawi jipya la CCM katika mtaa wa Pamba House leo jijini Dar es salaam.

Katibu wa itikadi na uenezi ambae pia ni mjumbe wa ( NEC) Mh. Nape Nnauye akikabidhi kadi kwa wanachama wapya wa tawi hilo leo jijini Dar es salaam.

No comments: