Makamu wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dr Kharib Bilal akihutubia mkutano wa Maziwa makuu uliofanyika Bujumbura Burundi jana.
Makam wa rais wa tanzania Bilal (kushoto), makam wa rais wa Burundi bw. Therence (katikati) na mwenyekiti wa umoja wa Afrika (AU) bw. Jan Ping wakiwa wamesimama wakati wimbo maalum ukipigwa.
Dr. Bilal alipokuwa akiwasili kwenye ukumbi tayari kufungua mkutano huo.
Waziri wa Afrika mashariki bw. Samwel Sitta kwa makini kabisa akimsikiliza makam wa rais Dr. Bilal.
No comments:
Post a Comment