Friday, 11 November 2011

Katibu wa itikadi na uenezi CCM Taifa Nape NNauye kwa pamoja na ujumbe wa Chama Cha Kikominist cha China wakitoa heshima kwenye makaburi ya wataalam wa kichina Majohe, Gongo la Mboto jijini Dar es salaam leo.

No comments: