Friday, 11 November 2011

Hili ni kundi moja kati ya makundi kadhaa ya wafanyabiashara maarufu kama wamachinga wakijiandaa kuvaana na polisi baada ya jaribio lao la kutaka kuziharibu ofisi za watendaji wa Uyole na Sinde kwa madai kwamba ndio chanzo cha mateso wanayoyapata kutokana na uzembe wa viongozi wao kujikuta likizuiliwa na polisi wa kikosi cha FFU.

No comments: