Thursday, 10 November 2011

Katibu mkuu wa CCM taifa Mh. Wilson Mkama akimtambulisha mjumbe wa Chama Cha kikominist Cha China (CPC) Liu Yunshan kwa Katibu wa itikadi na uenezi wa Chama Cha Mapinduzi Mh. Nape mnauye alipowasili leo mchana katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwl. JK Nyerere. Kulia ni Katibu wa uchumi mipango na fedha wa CCM Bw. Mwigulu Nchemba.

No comments: