Friday, 11 November 2011

MH. DR. KIKWETE AFUNGUA MKUTANO WA UWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA KILIMO JIJINI DAR

Waziri machachari kabisa wa wizaraUshirikiano wa Afrika Mashariki na Spika wa zamani wa Bunge la Tanzania Mh. Samweli Sitta akionyesha furaha yake alipokuwa akimkaribisha Dr. JK Kikwete kwenye mkutano wa kazi uliojulikana kama (Business Meeting) wenye lengo kujadili mpango wa uwekezaji katika kilimo.

No comments: