Wednesday, 30 November 2011

JERRY MURO YU HURU TENA.

Ni baada ya mahakama ya Kisutu kukosa ushahidi wa kutosha kuwatia hatiani.
Mtangazaji wa (TBC1) Jerry Muro akizungumza na wahandishi wa habari mara baada ya kuachiwa huru.
Murro na mkewe wakitoka mahakama ya kisutu.

No comments: