Sunday, 13 November 2011

MH. JK AZINDUA MRADI WA UMEME AKIWA ZIARANI - IRINGA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia katika kijiji cha Mawengi Wilaya ya Ludewa mkoani Iringa leo
Mh. rais akipokea hotuba iliyosomwa kwake na bi. Alice Michellesi wa taasisi ya Acra iliyodhamini mradi huo wa umeme.
Kundi kubwa la wananchi wa kijiji cha Mawengi wakimshangilia Mh. rais alipokuwa akiwasili kijijini hapo leo,
Mh. JK Kikwete akiangalia ramani inayoonyesha michoro ya majengo na maelekezo mengine yanahusu mradi huo na eneo lake
Mh. rais akipata maelekezo ya namna mitambo hiyo inavyofanya kazi na uwezo wake kiutendaji ambao inakadiliwa kwamba itawahudumia wananchi wapata 10,000 wa vijiji vya Mawengi, Madunda na Lupande.
Katibu kiongozi Mh. Philemoni Luhanjo akiwasalimu wanakijiji wakati wa uzinduzi huo.
Mama Salma Kikwete akipokea shada la maua mara baada ya kuwasili Mkoa Iringa ambako ulizinduliwa mradi wa Umeme.
Mh. rais Dr. JK Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na watawa wa kanisa Katoliki la Mawengi baada ya uzinduzi wa mradi wa Umeme Kijijini hapo leo.

No comments: