Monday, 14 November 2011

MVUA KUBWA YASABABISHA MAFURIKO MWANZA.

Ndege ya Precision air ikiwa kwenye maji kufuatia mvua kubwa iliyonyesha leo jijini Mwanza na kusabisha mafuriko katika maeneo mbalimbali ikiwa ni pamoja na uwanja wa ndege wa Mwanza.
Hivyo ndivyo uwanja wa ndege wa Mwanza ulivyoathirika kutoka na mvua kubwa iliyonyesha leo jijini Mwanza.

No comments: