Monday, 14 November 2011

MH. MBUNGE M. DEWJI AKAGUA MRADI WA MAJI SINGIDA MJINI

Mbunge wa Singida mjini (CCM) Mh. Mohamed Dewji akiwa katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali wanaoratibu na kusimamia mradi wa maji Singida mjini.
Mh. Mohamed Dewji al-maarufu kama 'MO' akikagua mradi huo unaofadhiriwa na BADEA.
Isaack Nyalonji ambae ni Mkurugenzi wa SUWASA akitoa maelekezo kwa Mbunge Mh. Dewji juu ya maendeleo ya mradi unaotarajiwa kukamilika mapema mwezi Julay mwakani

No comments: