Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) - Taifa Dr. JK Kikwete akizungumza na kiongozi wa msafara na ambae pia ni mjumbe wa NEC wa chama cha kikoministi cha China Liu Jiangxi.
Ujumbe wa chama cha Kikoministi cha China (CPC) ulipotembelea makao makuu ya zamania CCM Lumumba jijini Dar es salaam leo.
No comments:
Post a Comment