Friday, 11 November 2011

TANZANIA NA CHINA KUSHIRIKIANA KATIKA SEKTA YA UTALII

Bi. Maimuna Tarishi (mwenye miwani) ambaye ni katibu mkuu wa wizara ya Utalii akimkaribisha makamu wa gavana wa Jimbo la Jiangxi la China Wizarani hapo leo jijini Dar es salaam, na kulia ni afisa utalii wa wizara bi.Lilian Nyaki.

No comments: